Jubilii ya Dhahabu ya Malkia Victoria ilifanyika tarehe 20 na 21 Juni 1887 kwa kusherehekea miaka 50 tangu Malkia Viktoria achukue kiti cha enzi tarehe 20 Juni 1837.
Sherehe hizo zilijumuisha Ibada ya Shukrani katika Kanisa la Westminster Abbey, na karamu ambayo wafalme na wakuu 50 wa Ulaya walialikwa.[1]
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search